Top Search

LyricsCopy.com

Damu ya salaam

par Khadja Nin

lyricscopy.com
tangu iraki mpaka amerika
wako karibu yakufunga vita
mi mama mzazi nauliza
ni nani ata linda watoto wetu
bwana hussein anasema:
"nataka salaam"
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mwangiwa
ni ya wadogo na watoto tu

mimi huyu nakosa njiya
yakusikika kwa wakubwa
kwa hakika tulijioneya
vita ya kwanza ilizala fitina
bwana hussein anasema:
"nataka salaam"
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mwangiwa
ni ya wadogo na watoto tu

nakata matumaini
ju kwa vile naona
wakubwa hawajali macozi ya
mutu mudogo analiya wake
siraha ya amani ilikuta kwake
mr.clinton anasema:
"nataka salaam"
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mwangiwa
ni ya wadogo na watoto tu

mr.clinton anasema:
"nataka salaam"
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mwangiwa
ni ya wadogo na watoto tu
Recherche Artistes :

# A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z

Karaoké : Fichiers MP3 & Vidéos Karaoké

Karaoke Fun !